Vincent shemasi
Mandhari

Vinsenti (Huesca, karne ya 3 - Valencia, 304) alikuwa shemasi wa jimbo la Zaragoza, Hispania.
Wakati wa dhuluma ya Kaisari Dioklesian dhidi ya Wakristo, alifungwa na kuachwa bila chakula, akateswa vikali sana, hatimaye akafa kwa ajili ya imani yake. [1].
Heshima ya watu kwake kama mtakatifu ilienea haraka sana katika Kanisa lote.
Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 22 Januari[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |