Nenda kwa yaliyomo

Vincent shemasi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha yake iliyochorwa na msanii Tomas Giner (1462-1466).

Vinsenti (Huesca, karne ya 3 - Valencia, 304) alikuwa shemasi wa jimbo la Zaragoza, Hispania.

Wakati wa dhuluma ya Kaisari Dioklesian dhidi ya Wakristo, alifungwa na kuachwa bila chakula, akateswa vikali sana, hatimaye akafa kwa ajili ya imani yake. [1].

Heshima ya watu kwake kama mtakatifu ilienea haraka sana katika Kanisa lote.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 22 Januari[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Marejeo ya Kiswahili

[hariri | hariri chanzo]
  • Maurice Soseleje, Kalendari yetu – Maisha ya Watakatifu – Toleo la pili – ed. Benedictine Publications Ndanda Peramiho – Peramiho 1986 – ISBN 9976-63-112-X, uk. 14
  • Masomo ya Breviari - Sikukuu za Bwana, za Bikira Maria na za Watakatifu - Ndanda Mission Press 1978, uk 29-31
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.