Nenda kwa yaliyomo

Vincent Nsengiyumva

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Vincent Nsengiyumva (10 Februari 19367 Juni 1994) alikuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Rwanda, aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kigali kutoka mwaka 1976 hadi kifo chake.

Alizaliwa Rwaza na akapadrishwa tarehe 18 Juni 1966.[1]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.