Vincent Ferrer

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Vincent Ferrer.

Vincent Ferrer (Valencia, Hispania, takriban 1350Nantes, Ufaransa, 5 Aprili 1419) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki na mtawa wa Shirika la Wahubiri.

Alisafiri sana kati ya miji ya Ulaya Magharibi, akishughulikia amani na umoja wa Kanisa akisaidia kumaliza Farakano la magharibi.

Aliwahubiria watu wengi sana Injili ya toba na ujio wa pili wa Yesu hadi mwisho wa maisha yake.

Mwaka 1455 alitangazwa na Papa Callixtus III kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Hotuba zake katika tafsiri ya Kifaransa[hariri | hariri chanzo]

Vitabu juu yake[hariri | hariri chanzo]

Makala[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.