Viktor Gyökeres
Mandhari

Viktor Einar Gyökeres (alizaliwa 4 Juni 1998)[1] ni mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Uswidi ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Arsenal inayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) na timu ya taifa ya Uswidi.[2][3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Premier League clubs publish 2018/19 retained lists". www.premierleague.com (kwa Kiingereza). 2019-06-07. Iliwekwa mnamo 2025-08-11.
- ↑ "Summary - Viktor Gyökeres - Results, fixtures, squad, statistics, photos, videos - Soccerway". int.soccerway.com. Iliwekwa mnamo 2025-08-11.
- ↑ https://www.sporting.pt/en/football/main-team/squad/viktor-einar-gyokeres
| Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Viktor Gyökeres kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |