Victoria (Shelisheli)
Mandhari
(Elekezwa kutoka Victoria, Seychelles)
| Jiji la Victoria | |
| Nchi | Shelisheli |
|---|---|
| Idadi ya wakazi | |
| - Wakazi kwa ujumla | 22,881 |

Victoria ni mji mkuu na mji mkubwa wa Shelisheli. Uko kwenye kisiwa cha Mahe ikiwa na wakazi 22,881 (2005).
Bandari ya Victoria ni kitovu cha biashara ya kimataifa cha nchi.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Victoria (Shelisheli) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |