Vicky Longomba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Vicky Longomba mwaka 1960

Victor Longomba Besange Lokuli, anayejulikana kwa jina la Vicky Longomba. (13 Desemba 193212 Machi 1988 huko Kinshasa[1] ) alikuwa mwimbaji na mwanachama mwanzilishi wa Tout puissant OK Jazz, kikundi cha rumba cha Kongo.[2][3]

Baadaye alianzisha kundi lake la Lovy du Zaire.

Alikuwa babake Lovy Longomba (mwanachama wa Super Mazembe) na Awilo Longomba, wote wanamuziki maarufu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Congolite/music". web.archive.org. 2013-11-07. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-11-07. Iliwekwa mnamo 2022-05-07. 
  2. "Vicky Longomba", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2021-11-21, iliwekwa mnamo 2022-05-07 
  3. "Vicky Longomba", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2021-11-21, iliwekwa mnamo 2022-05-07