Uwanja wa michezo wa Mané Garrincha
Mandhari
Mwonekano wa juu wa uwanja | |
| Jina maarufu | Arena BRB Mané Garrincha |
|---|---|
| Eneo | Brasília, Brazil |
| Ufunguzi | 1974 |
| Uwezo | 72,788 |
| Aina ya nyasi | Nyasi asilia |
Uwanja wa Taifa Mané Garrincha ni uwanja wa Taifa unaotumika katika shughuli mbali mbali za kitaifa, na michezo kama mpira wa miguu ulio katika jiji la Brasília, nchini Brazil.[1] Ulipewa jina la heshima kwa mchezaji maarufu wa Brazil, Mané Garrincha, ambaye alijulikana kwa ustadi wake mkubwa katika mchezo wa soka.
Uwanja huu umetumika kwa mashindano makubwa kama Kombe la Dunia la FIFA 2014 na Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Joto mnamo 2016.[2]
Uwanja huo una uwezo wa kuchukua zaidi ya watu 70,000 na ni miongoni mwa viwanja vikubwa zaidi nchini Brazil.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Estádio Nacional Mané Garrincha". Archived from the original on 1 July 2013. Retrieved 18 October 2025.
- ↑ "2014 FIFA World Cup Brazil™ – Estádio Nacional". FIFA.com. Retrieved 18 October 2025.
| Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Mané Garrincha kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |