Nenda kwa yaliyomo

Uwanja wa Ndege wa Rhein-Main

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiwanja cha Ndege cha Rhein-Main ni kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Frankfurt am Main nchini Ujerumani. Ni kati ya viwanja vya ndege kubwa za abiria zaidi ya milioni 55 wanaopita.[1] Jina kamili kwa Kijerumani ni Flughafen Frankfurt am Main, kwa Kiingereza Frankfurt international Airport. Kifupi chake ni FRA.[2]

Ni kituo kikuu cha Lufthansa.

Kiwanja cha ndege kipo kilomita 12 kusini ya Frankfurt na safari kwa treni kutoka mjini ni dakika 20.

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
  1. "Frankfurt Airport (FRA)". International Airport Review (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2025-07-10.
  2. "Frankfurt Airport - Facts and Figures at FRA". www.frankfurt-airport.com (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-10-01. Iliwekwa mnamo 2025-07-10.