Nenda kwa yaliyomo

Uwanja wa Michezo wa Mário Santiago

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uwanja wa Michezo wa Mário Santiago ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Angola. Ulizinduliwa kwenye mji wa Luanda nchini Angola. Uwanja huu hutumiwa na timu ya Progresso do Sambizanga na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 18,000.[1]

  1. "Stadiums in Angola". World Stadiums. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-06-13. Iliwekwa mnamo 2025-02-06.
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa Michezo wa Mário Santiago kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.