Uwanja wa Michezo wa Lyes Imam
Mandhari
Uwanja wa Michezo wa Lyes Imam ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Aljeria. Ulizinduliwa kwenye mji wa Médéa nchini Aljeria. Uwanja huu hutumiwa na timu ya Olympique de Médéa na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 15,000.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Coup d'envoi des travaux de réalisation du nouveau complexe sportif à Béchar". Radio Algérie. 8 Agosti 2024. Iliwekwa mnamo 9 Agosti 2024.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
| Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa Michezo wa Lyes Imam kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |