Nenda kwa yaliyomo

Uwanja wa Michezo wa Leichhardt Oval

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uwanja wa Michezo wa Leichhardt Oval ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Australia. Ulizinduliwa kwenye mji wa Sydney nchini Australia. Uwanja huu hutumiwa na timu ya taifa ya soka ya wanaume Australia, timu ya taifa ya soka ya Australia ya wanawake, Sydney FC (A-Ligi ya Wanawake) na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 20,000.[1]

  1. "Venues by Country". www.rugbyleagueproject.org.
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa Michezo wa Leichhardt Oval kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.