Uwanja wa Michezo wa Colonel Lotfi
Mandhari
Uwanja wa Michezo wa Colonel Lotfi ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Aljeria. Ulizinduliwa mnamo mwaka 1976 kwenye mji wa Tlemcen nchini Aljeria. Uwanja huu hutumiwa na timu ya WA Tlemcen na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 25,000.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa Michezo wa Colonel Lotfi kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |