Uwanja wa Michezo wa Clive Berghofer
Mandhari
Uwanja wa Michezo wa Clive Berghofer ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Australia. Ulizinduliwa kwenye mji wa Toowoomba nchini Australia. Uwanja huu hutumiwa na timu ya Toowoomba Raiders FC na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 9,000.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa Michezo wa Clive Berghofer kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |