Uwanja wa Michezo wa Bangabandhu National
Mandhari
Uwanja wa Michezo wa Bangabandhu National ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Bangladesh. Ulizinduliwa mnamo mwaka 1954 kwenye mji wa Dhaka nchini Bangladesh. Uwanja huu hutumiwa na timu ya Kandanda na riadha na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 36,000.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Argentina beat Nigeria 3–1 to avenge June's defeat Archived 24 Septemba 2015 at the Wayback Machine BBC
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa Michezo wa Bangabandhu National kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |