Nenda kwa yaliyomo

Uwanja wa Michezo wa 20 Augosti 1955

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uwanja wa Michezo wa 20 August 1955 ni uwanja wa mpira wa miguu nchini Aljeria. Ulizinduliwa mnamo mwaka 1930 kwenye mji wa Algiers nchini Aljeria. Uwanja huu hutumiwa na timu ya CR Belouizdad na una uwezo wa kuhifadhi mashabiki 12,000.[1]

  1. "Coup d'envoi des travaux de réalisation du nouveau complexe sportif à Béchar". Radio Algérie. 8 Agosti 2024. Iliwekwa mnamo 9 Agosti 2024.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa Michezo wa 20 Augosti 1955 kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.