Uwanja wa michezo wa Union
(Elekezwa kutoka Uwanja Wa Union)
Uwanja wa michezo wa Union ni uwanja wa michezo mbalimbali unaomilikiwa na manispaa ya Westbury huko Johannesburg, Afrika Kusini.[1] Unatumika zaidi kwa mchezo wa mpira wa miguu yaani (soka).
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Union Stadium seeking a boost". JoburgNews.co.za. 15 April 2004. Iliwekwa mnamo 23 May 2010. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu. Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Union kama historia yake, uenezi au kanuni zake? Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |