Utengule

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Utengule ni jina la sehemu tofauti katika kusini ya nchi Tanzania:

Utengule zote mbili za juu zina uhusiano wa Kihistoria zilikuwa makao makuu ya chifu Merere II wa Wasangu aliyehamisha boma lake 1877 kutoka Usangu kwenda Usafwa kutokana na mashambulio ya Wahehe na kuita boma jipya tena "Utengule"..

Kuna pia


Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana

Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja.