Usan-guk

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Usan)

Usan-guk au Nchi ya Usan, ilichukua Ulleung-do na visiwa vya karibu wakati wa kipindi cha Falme Tatu za Korea. Kwa mujibu wa Samguk Sagi, ilikuja kuchukuliwa na jenerali wa Silla, Kim Isabu mnamo 512. Alisema watumie simba au matiger wa mbao ili kuwatisha wakazi wajisalimishe. Usan-guk ni agharabu sana kuingizwa katika rekodi za kihistoria, lakini ameonekana kuendelea kuwa na uhuru mkubwa sana wa kijitawala hadi hapo alipokuja kupolwa madaraka na Goryeo mnamo 930.

Old ramani ya Korea[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Usan-guk kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.