Upplands Väsby

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Upplands Väsby

Upplands Väsby ni mji na manispaa nchini Uswidi. Kuna wakazi 35,977 (mwaka 2005).

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 14.02 km². Umbali na Jiji la Stockholm ni 20 km.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Upplands Väsby kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.