Uingereza Kaskazini-Magharibi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


North West England
Mahali paNorth West England
Mahali paNorth West England
Mahali pa Uingereza Kaskazini-Magharibi katika Uingereza
Nchi Bendera ya Ufalme wa Muungano Ufalme wa Muungano
Sehemu Bendera ya Uingereza Uingereza
Mji mkuu Manchester
Eneo
 - Jumla 14,165 km²
Idadi ya wakazi (2006)
 - Wakazi kwa ujumla 6,853,200
Tovuti:  http://www.4nw.org.uk/

Uingereza Kaskazini-Magharibi (Kiing.: North West England) ni moja ya mikoa 9 ya kujitawala ya Uingereza. Idadi ya wakazi wake ni takriban 6,853,200. Mji wake mkuu ni Manchester.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Uingereza bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Uingereza Kaskazini-Magharibi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Bandera ya Ufalme wa Muungano
 
Mikoa ya Uingereza
London Mkuu | Kaskazini-Magharibi | Kaskazini-Mashariki | Kusini-Magharibi | Kusini-Mashariki | Mashariki | Midlands Magharibi | Midlands Mashariki | Yorkshire na Humber