Ugunduzi na usahihishaji wa makosa
Katika utarakilishi, mawasiliano na usimbaji, ugunduzi na usahihishaji wa makosa (kwa Kiingereza: error detection and correction) ni mbinu zinazotumika kugundua na kurekebisha makosa katika uhamishaji data.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.