Ufalme wa Belgin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ufalme wa Belgin (unaojulikana pia kama Ufalme wa Baqulin) ulikuwa ufalme wa Enzi ya kati uliokuweko Kaskazini Mashariki mwa Afrika.

Kulingana na Al-Yaqubi, ilikuwa moja ya falme sita za Beja ambazo zilikuwepo katika mkoa huo wakati wa karne ya 9. Eneo la ufalme lilikuwa kati ya Aswan na Massawa. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]