Udhaifu
Mandhari
Makala hii inahitaji vyanzo zaidi ili kuwezesha kuonyesha uthibitisho. |
Udhaifu (kutoka neno la Kiarabu), kinyume cha nguvu, ni hali ya mwili, ya nafsi au ya roho inayofanya mtu asiweze mambo mbalimbali ambayo yanampasa au yanawezekana kwa wenzake wengi. Unaweza kutokana na ulemavu, ufukara, njaa, tabia mbovu n.k.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |