Uchakatishaji data

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Katika utarakilishi, uchakatishaji data (kwa Kiingereza: data processing) ni utumizi wa kipengee cha data ili kutoa taarifa yenye maana.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).