Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1964

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1964 ulikuwa wa 45 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 3 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Rais Lyndon B. Johnson (pamoja na kaimu wake Hubert Humphrey) alimshinda mgombea wa "Republican Party" Barry Goldwater (pamoja na kaimu wake William E. Miller).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Johnson akapata kura 486, na Goldwater 52. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.