Nenda kwa yaliyomo

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1920

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1920 ulikuwa wa 34 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 2 Novemba. Upande wa "Republican Party", Warren G. Harding (pamoja na kaimu wake Calvin Coolidge) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" James M. Cox (pamoja na kaimu wake Franklin D. Roosevelt).

Harding akapata kura 404, na Cox 127. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.

Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1920 Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.