Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1884
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1884 ulikuwa wa 25 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 4 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Grover Cleveland (pamoja na kaimu wake Thomas Hendricks) alimshinda mgombea wa "Republican Party" James Blaine (pamoja na kaimu wake John Logan).
Matokeo[hariri | hariri chanzo]
Cleveland akapata kura 219 na Blaine 182. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |