Pugi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Tutu)
Pugi
Pugi-wanda
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Aves (Ndege)
Oda: Columbiformes (Ndege kama njiwa)
Familia: Columbidae (Ndege walio na mnasaba na njiwa)
Leach, 1820
Nusufamilia: Columbinae (Ndege wanaofanana na njiwa)
Leach, 1820
Ngazi za chini

Jenasi 9; spishi 25, 7 katika Afrika:

Pugi au huji ni ndege wa jenasi mbalimbali katika familia Columbidae. Mgongo wao una rangi ya jivu au kahawa na kidari na tumbo zina rangi ya pinki na/au nyeupe. Mabawa ya spishi nyingi, pamoja na spishi za Afrika, yana mabaka kwa rangi ing'aayo. Spishi za zinatokea Afrika chini ya Sahara. Hutafuta chakula chini na hula mbegu hasa lakini matunda, wadudu na makoa pia. Hujenga tago lao mitini au vichakani na jike hutaga mayai mawili.

Spishi za Afrika[hariri | hariri chanzo]

Spishi za mabara mengine[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]