Toribio Romo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha yake halisi.

Toribio Romo (jina kamili kwa Kihispania Toribio Romo González; Santa Ana de Guadalupe, Jalisco, Mexico, 19 Septemba 1900 - Tequila, Jalisco, 25 Februari 1928) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Meksiko hadi alipouawa na waliochukia upadri bila kesi wakati wa Vita vya Wakristero[1].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 22 Novemba 1992 halafu mtakatifu mfiadini tarehe 21 Mei 2000 pamoja na wenzake 24 waliofia dini katika vita hivyo[2]:

Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 21 Mei ila ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Gutierrez, Marco A. Garcia. "Toribio Romo: protector de los mojados: es un espejismo del desierto que hace milagros de carne y hueso." Contenido, June, 2002 (Kihispania)
  • Murphy, James. The Martyrdom of Saint Toribio Romo. Liguori Publications (November 1, 2007)
  • Thompson, Ginger. "Santa Ana de Guadalupe Journal; A Saint Who Guides Migrants to a Promised Land." The New York Times, August 14, 2002.
  • Sheehan, Thomas. Dictionary of Patron Saints' Names. Our Sunday Visitor (September 2001)
  • Chapman, Erica. Trad. oral. 2016

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.