Jimbo katoliki la Vita

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Titular Bishopric of Vita)
Afrika ya Kirumi.

Jimbo katoliki la Vita ni dayosisi ya Kikristo ya zamani na kwa sasa ni jimbo la jina la Kanisa Katoliki.[1][2][3][4] Jina Vita linamaanisha uhai au maisha.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Pius Bonifacius Gams, Series episcoporum Ecclesiae Catholicae, Leipzig 1931, p. 470
  2. Stefano Antonio Morcelli, Africa Christiana, Volume I, Brescia, 1816, pp. 357-358
  3. J. Mesnage, L'Afrique chrétienne, Paris 1912, p. 51
  4. Vita at catholic-hierarchy.org.
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jimbo katoliki la Vita kama historia yake au maelezo zaidi?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.