Nenda kwa yaliyomo

Timu ya taifa ya kandanda ya Uganda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Timu ya taifa ya kandanda ya Uganda, inayojulikana kama Korongo wa Uganda (The Cranes), inaiwakilisha nchi ya Uganda katika soka la kimataifa. Uwanja wa taifa wa Uganda unafahamika kwa jina la Mandela National Stadium katika mji wa Bweyogerere, nchi ya Uganda. Timu inasimawiwa na Shirikisho la Vyama vya Mpira wa Miguu vya Uganda (FAFU). Kocha mkuu kwa sasa ni Paul Put, mwenye asili ya Ubelgiji. Kapteni kwa sasa ni Khalid Aucho. Godfrey Walusimbi alicheza mechi nyingi zaidi kwa Korongo wa Uganda (105), na Emmanuel Okwi ni mfungaji bora (28).

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Korongo wa Uganda ilicheza debi katika tarehe 1 Mei 1926 dhidi ya Kenya, mahasimu wao wa Afrika Mashariki, ambayo ilimalizika kwa suluhu ya 1-1. Katika 1962, Korongo wa Uganda ilifanya dabi katika Mashindano ya Afrika, mashindano matatu, ambayo ilikuwa na timu nne tu. Korongo wa Uganda ilipoteza mecha dhidi Misri 2-1, na ilipoteza mecha ya nafasi ya tatu dhidi Tunisia 3-0. Timu hii imefuzu Mashindano ya Afrika mara nane, na imewahi kumaliza nafasi ya pili katika Mashindano ya Afrika ya 1978. Uganda, Kenya, na Tanzania watakuwa wenyeji wa Mashindano ya Afrika ya mwaka 2027. Timu ya Taifa ya Uganda imekuwa ikishindana katika Mashindano ya CECAFA kutoka mwaka 1926 mpaka sasa. Wao wameshinda mashindano mara arobaini, ambayo ni mataji mengi zaidi ya taifa lolote. Korongo wa Uganda haijawahi kufuzu kwa Kombe la Dunia, hata hivyo. Katika mwaka 2016, timu ilikuwa “Timu Bora ya Afrika ya Mwaka”.

Mechi nyingi zaidi

[hariri | hariri chanzo]
Daraja Mchezaji Mechi Magoli Kazi
1 Godfrey Walusimbi 105 3 2009-2019
2 Emmanuel Okwi 95 28 2009-2023
3 Simeon Masaba 88 6 2002-2013
4 Tony Mawejje 86 8 2003-2018
5 Denis Onayngo 82 0 2005-2021
6 Hassan Wasswa 81 0 2006-2019
7 Farouk Miya 79 23 2014-sasa
8 Khalid Aucho 76 2 2013-sasa
9 Andrew Mwesigwa 75 7 2003-2014
10 Geoffrey Massa 72 22 2005-2017

Kikosi cha sasa

[hariri | hariri chanzo]

Wachezaji 26 walichaguliwa kuiwakilisha Uganda katika mchezo wa kufuzu Mashindano ya Afrika dhidi Msumbiji na Guinea tarehe 20 na 25 mwezi Machi mwaka 2025.

Nafasi Mchezaji Tarehe ya Kuzaliwa Mechi Magoli Klabu
GK Ismail Watenga 15 Mei 1995 35 0 Lamontville Golden Arrows
GK Nafian Alionzi 1 Machi 1996 6 0 Defence Force
GK Joel Mutakubwa 17 Julai 1995 3 0 BUL

DF Isaac Muleme 10 Oktoba 1992 52 0 Viktoria Žižkov
DF Timothy Awany 6 Agosti 1996 45 0 Ashdod
DF Aziz Kayondo 6 Oktoba 2002 26 2 Slovan Liberec
DF Bevis Mugabi 1 Mei 1995 26 1 Anorthosis Famagusta
DF Gavin Kizito 14 Januari 2002 12 0 KCCA
DF Elvis Bwomono 29 Novemba 1998 10 0 St Mirren
DF Toby Sibbick 23 Mai 1999 1 0 Wigan Athletic
DF Rogers Torach 23 Juni 2003 1 0 Vipers

MF Khalid Aucho © 8 Agosti 1993 76 2 Young Africans
MF Allan Okello 4 Julai 2000 28 3 Vipers
MF Travis Mutyaba 7 Agosti 2005 23 3 Bordeaux
MF Kenneth Semakula 14 Novemba 2002 23 0 Club Africain
MF Karim Watambala 3 Machi 2000 14 0 Vipers
MF Ssekiganda Ronald 13 Septemba 1995 9 1 Villa
MF Enock Ssebaggala 28 Julai 2000 0 0 NEC

FW Rogers Mato 20 Oktoba 1998 31 4 Vardar Skopje
FW Muhammad Shaban 11 Januari 1998 25 2 Al-Anwar Al-Abyar
FW Steven Mukwala 15 Julai 1999 21 1 Simba
FW Denis Omedi 13 Juni 1996 12 2 APR
FW Jude Ssemugabi 3 Machi 1997 4 1 Kitara
FW Patrick Kakande 25 Aprili 2003 2 0 Villa
FW Hakim Kiwanuka 11 Septemba 2000 2 0 APR
FW Calvin Kabuye 28 Machi 2003 1 0 Mjällby
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Timu ya taifa ya kandanda ya Uganda kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.