Timotheo IV wa Aleksandria
Mandhari
Timotheo IV wa Aleksandria (alifariki 20 Februari 535) kuanzia mwaka 517 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 32 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu kwa jina la Timotheo III.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |