Thomas P. Salmon
Mandhari

Thomas Paul Salmon (19 Agosti 1932 – 14 Januari 2025) alikuwa mwanasiasa wa chama cha Kidemokrasia cha Marekani aliyewahi kuhudumu kama gavana wa 75 wa jimbo la Vermont kuanzia 1973 hadi 1977. [1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Thomas P. Salmon". National Governors Association. Iliwekwa mnamo 16 Novemba 2012.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |