Nenda kwa yaliyomo

Thomas Joseph Toolen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Thomas Joseph Toolen (28 Februari 18864 Desemba 1976) alikuwa mchungaji wa Kanisa Katoliki nchini Marekani.

Alihudumu kama Askofu wa Mobile kutoka 1927 hadi 1969, na alipewa cheo binafsi cha Askofu Mkuu mnamo 1954.[1]

  1. "Archbishop Thomas Joseph Toolen". Catholic-Hierarchy.org.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.