Theofilo wa Aleksandria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Alivyochorwa katika mafunjo.

Theofilo wa Aleksandria (alifariki 15 Oktoba 412) kuanzia mwaka 384 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 23 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake.

Maandishi yaliyotufikia[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.