Teresa wa Yesu wa Los Andes
Mandhari

Teresa wa Yesu, O.C.D. (Santiago, Chile, 13 Julai 1900 - Los Andes, Valparaiso, Chile, 12 Aprili 1920) ni jina la kitawa la Juana Fernandez Solar, bikira, mnovisi wa Wakarmeli Peku[1].
Akifuata njia ya udogo iliyoelekezwa na somo wake, Teresa wa Mtoto Yesu, alipiga hatua kubwa kwa muda mfupi[2][3].
Akiwa na umri wa miaka 20 alijitoa mhanga kwa Mungu afe kwa ajili ya ulimwengu wenye dhambi akafariki kwa ugonjwa wa taifodi.
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 3 Aprili 1987 halafu mtakatifu tarehe 21 Machi 1993.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Her life was used for the a Chilean television miniseries spanning from 6 August until 10 September 1989 starring Paulina Urrutia as Teresa of Jesus. Other films have been made about her life.
- ↑ "Saint Teresa of the Andes". Saints SQPN. 31 Julai 2016. Iliwekwa mnamo 4 Januari 2017.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/62425
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Hagiography Circle
- Saints SQPN
- Santi e Beati
- Discalced Carmelites of the Australia-Oceania Region Ilihifadhiwa 13 Machi 2016 kwenye Wayback Machine.
- Holy See
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |