Nenda kwa yaliyomo

Tembo (samaki)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tembo
Tembo milia-hanamu (Pristipomoides zonatus)
Tembo milia-hanamu (Pristipomoides zonatus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Actinopterygii (Samaki walio na mapezi yenye tindi)
Oda: Acanthuriformes (Samaki kama janja)
Familia: Lutjanidae (Samaki wanaofanana na janja)
Gill, 1861
Ngazi za chini

Jenasi 6; spishi 27, 10 katika Afrika ya Mashariki:

Tembo ni samaki wa baharini wa jenasi mbalimbali katika familia Lutjanidae ya oda Acanthuriformes katika ngeli Actinopterygii walio maarufu kwa matumizi. Wanatokea kwa kawaida katika maji ya kitropiki na kinusutropiki ya Bahari za Hindi na Pasifiki kwenye miamba ya matumbawe mpaka vina vya m 500. Hula samaki wengine, gegereka, ngisi na wanyama-koti.

Jenasi hizi ina spishi 27 duniani kote. Spishi 10 zimeriportiwa kutoka Afrika ya Mashariki.

Spishi za Afrika ya Mashariki

[hariri | hariri chanzo]