Tapa (utarakilishi)

Wingu maneno au wingu tapa wa maneno kuhusiana na Web 2.0.
Katika utarakilishi, tapa (kwa Kiingereza: Tag) ni neno msingi linalotolewa na kipande cha taarifa (kwa mfano, alamisho mtandao, taswira tarakimu, kumbukumbu za hazinadata au jalada tarakilishi).
Tapa inarahisisha utafutaji wa taarifa kwenye mtandao.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).