Mamlaka ya Bandari Tanzania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Tanzania Ports Authority)
Jengo la Mamlaka ya Bandari Tanzania kabla ya kukamilika

Mamlaka ya Bandari Tanzania (Kiingereza: Tanzania Ports Authority kifupi TPA) ni shirika la umma linalofanya kazi zake chini ya Wizara ya Miundombinu na Maendeleo, hiyo ndiyo inajukumu zima la kuongoza na kuendesha " bandari ya bahari na bandari ya maziwa ya nchini Tanzania.[1][2] Mamlaka haya yapo mjini Dar es Salaam. Ni bandari mwanachama wa Jumuia ya Uongozaji wa Bandari za Kusini na Mashariki mwa Afrika.

Bandari za Bahari ya Hindi[hariri | hariri chanzo]

Bandari kuu za TPA zilizopo katika Bahari ya Hindi ni Dar es Salaam, Mtwara, na Tanga; bandari zingine ndogo zinatoa huduma katika pwani ni pamoja na Lindi, Kilwa Masoko, Mafia Kisiwani, Bagamoyo, Pangani na Kwale. Bandari ya Zanzibar inajitawala chini ya Shirika la Bandari la Zanzibar.[3].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mamlaka ya Bandari Tanzania kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.