Tandala
Tandala | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Dume la tandala mkubwa
(Tragelaphus strepsiceros) | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi 8:
|
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tandala ni wanyama wa jenasi Tragelaphus katika familia Bovidae. Spishi nyingine huitwa bongo, kulungu, malu, nyala au nzohe. Wanatokea Afrika katika maeneo yenye miti kutoka nyika hadi msitu. Wana milia na madoa nyeupe juu ya rangi ya kahawa au kijivu. Dume ni kubwa kuliko jike na ana pembe ndefu zilizopotolewa. Jike hana pembe. Wanyama hawa hula majani, manyasi, matunda na viazi vya gugu.
Spishi
- Tragelaphus angasii, Nyala (Nyala)
- Tragelaphus buxtoni, Tandala-milima (Mountain Nyala)
- Tragelaphus eurycerus, Bongo (Bongo)
- Tragelaphus imberbis, Tandala Mdogo (Lesser Kudu)
- Tragelaphus scriptus, Nyala-nyika (Kéwel)
- Tragelaphus spekii, Nyala-maji au Nzohe (Sitatunga)
- Tragelaphus strepsiceros, Tandala Mkubwa au Malu (Greater Kudu)
- Tragelaphus sylvaticus, Kulungu, Mbawala au Pongo (Imbabala au Bushbuck)
Picha
-
Dume la nyala
-
Jike la nyala
-
Dume la bongo
-
Dume la tandala mdogo
-
Jike la tandala mdogo
-
Dume la nzohe
-
Jike la nzohe
-
Jike la tandala mkubwa
-
Kulungu
-
Mbawala
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Tandala kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.