Tamás Bakócz
Mandhari

Tamás Bakócz (Erdőd, 1442 - Esztergom, 1521) alikuwa askofu mkuu, kardinali, na mtawala wa Hungaria. Alikuwa mgombea mkuu katika uchaguzi wa Papa wa mwaka 1513.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Schaefer, Francis. "Thomas Bakócz." The Catholic Encyclopedia Vol. 2. New York: Robert Appleton Company, 1907. 20 August 2023
- REDIRECT Template:Source-attribution
This page was kept as a redirect to the corresponding main article on the topic it names, in order to preserve the page's edit history after its content was merged into the other article's content. Please do not remove the tag that generates this text (unless the need to recreate an article on this page has been demonstrated), nor delete this page.
For more information, follow the first category link.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |