Nenda kwa yaliyomo

Tamás Bakócz

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Tamás Bakócz (sarafu ya kumbukumbu)

Tamás Bakócz (Erdőd, 1442 - Esztergom, 1521) alikuwa askofu mkuu, kardinali, na mtawala wa Hungaria. Alikuwa mgombea mkuu katika uchaguzi wa Papa wa mwaka 1513.[1]

  1. Schaefer, Francis. "Thomas Bakócz." The Catholic Encyclopedia Vol. 2. New York: Robert Appleton Company, 1907. 20 August 2023
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.