Nenda kwa yaliyomo

Taasisi ya Wahandisi wa Kenya

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Taasisi ya Wahandisi wa Kenya (kwa Kiingereza: The Institution of Engineers of Kenya, ufupi: IEK) ni shirika la kiusomi linalojumuisha wataalamu wote wanaohusika katika taaluma ya uhandisi nchini Kenya. Iliasisiwa 1972 baada ya kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki[1]. Malengo yake makuu ni kuwakilisha wataalamu wa uhandisi pamoja na kuendeleza utaalamu.

Majarida

[hariri | hariri chanzo]
  • Jarida la Engineering in Kenya
  • Jarida la Kiafrika la Utafiti na Uvumbuzi katika Uhandisi (African Journal of Engineering Research and Innovation)
  • Chapa za Kongamano
  1. "About Us | The Institution of Engineers of Kenya (IEK)". iekenya.org. Iliwekwa mnamo 2025-08-21.