Swichi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Hii ni picha ya swichi ya kuwasha taa.

Swichi (kutoka Kiingereza "switch") ni sehemu inayotumika kufanya mzunguko wa umeme kwa ajili ya kuchaji simu, tochi na kuwasha taa kwa ajili ya kutupatia mwanga.

Pia hutumika kuwasha vitu vinavyotumia umeme kama: runinga, redio,pasi, jokofu n.k.

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.