Suni
Suni | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Dume la suni mashariki
(Neotragus moschatus) | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Spishi 3:
|
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Suni ni wanyamapori wadogo sana wa jenasi Neotragus katika familia Bovidae. Wanyama hawa ni wadogo kabisa wa Bovidae (kimo sm 25–40 begani, urefu sm 40–60 na uzito kg 2.5–5.5). Wanatokea misitu minyevu na mikavu ya Afrika kusini kwa Sahara yenye kichaka kizito. Dume ana pembe fupi kwa urefu wa sm 3.5 hadi 13 kuhusiana spishi. Rangi yao ni kahawianyekundu lakini nyeupe upande wa chini. Suni hula majani, macho ya maua, machipukizi, nyoga, manyasi na mimea.
Spishi
- Neotragus batesi, Suni wa Bates (Bates's Pygmy Antelope)
- Neotragus moschatus, Suni au Suni Mashariki (Suni)
- Neotragus pygmaeus, Suni Mdogo (Royal Antelope)
Picha
-
Jike la suni mashariki
-
Jike la suni mdogo
Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Suni kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.