Sumbawanga (mji)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Sumbawanga
Sumbawanga is located in Tanzania
Sumbawanga
Sumbawanga

Mahali pa mji wa Sumbawanga katika Tanzania

Majiranukta: 7°57′36″S 31°37′12″E / 7.96000°S 31.62000°E / -7.96000; 31.62000
Nchi Tanzania
Mkoa Rukwa
Wilaya Sumbawanga Mjini
Idadi ya wakazi (2002)
 - Wakazi kwa ujumla 147,483
Soko mjini Sumbawanga mwaka 2009

Sumbawanga ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Rukwa.

Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 147,483 [1].

Kabila maarufu mkoani ni la Wafipa wakitumia lugha ya Kifipa.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tanzania.go.tz/census/districts/sumbawangaurban. Jalada kutoka ya awali juu ya 2003-09-03. Iliwekwa mnamo 2003-09-03.
Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Rukwa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sumbawanga (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.