St. John's (Antigua na Barbuda)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


St. John's
Nchi Antigua na Barbuda
Barabara mkuu wa St. John

St John's ni mji mkuu wa Antigua na Barbuda katika Antili Ndogo za Bahari ya Karibi (Amerika ya Kati). Mji uko kwenye kisiwa cha Antigua. Kuna wakazi 24,226 (mwaka 2000) hivyo ni pia mji mkubwa kabisa wa nchi ndogo.


Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu St. John's (Antigua na Barbuda) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.