Stephen Yakubu
Mandhari
(Elekezwa kutoka Stéphane Legar Article Talk)
| Stephen Yakubu | |
| Amezaliwa | 25 Mei 1966 (umri 59) |
|---|---|
| Nchi | Ghana |
| Kazi yake | Mwanasiasa |
| Elimu | Kwame Nkurumah University of Science and Tachnology |
| Chama cha kisiasa | New Patriotic Party |
| Watoto | 1 |
Stephen Yakubu ni mwanasiasa na mwanadiplomasia kutoka Ghana. Aliwahi kuwa Balozi wa Ghana nchini Morocco na pia alikuwa Mbunge wa jimbo la Binduri katika Mkoa wa Upper East [1]nchini Ghana. Kwa sasa, yeye ni Waziri wa Mkoa w Upper East na pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Mkoa.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Stephen Yakubu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |