Spartacus

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Spartcus mbele ya Makumbusho ya Louvre mjini Paris, Ufaransa.

Spartacus (jina lilivyo kwa Kilatini; kwa Kigiriki ni Σπάρτακος, Spártakos; 109 KK hivi – 71 KK) kwa mujibu wa wanahistoria wa Kirumi, alikuwa mtumwa hodari wa kupigana kwa upanga (Gladiator) [1] dhidi ya watu wengine au wanyama wa mwituni.

Baadaye alikuja kutoroka gerezani na kuwa kiongozi wa waasi au watumwa dhidi ya serikali ya Warumi.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Rob Shone, Anita Ganeri, "Spartacus: The Life of a Roman Gladiator", The Rosen Publishing Group, 2005, ISBN 1404202404, 9781404202405
  2. Patrick Kelly, "Spartacus: The True History of Rome's Greatest Hero & the Third Servile War", BookCaps Study Guides, 2011, ISBN 1610427467, 9781610427463