Solomon Iguru I
Mandhari
Omukama Rukirabasaija Agutamba Solomon Gafabusa Iguru I (alizaliwa 1948) ni Omukama wa 27 wa Bunyoro kuanzia mwaka 1994 hadi sasa. Jina jingine la kifalme la kiasili linalotumika na familia (linalojulikana kama empaako) ni Ammoti.[1]
Solomon Iguru I alipanda kwenye kiti cha enzi mwaka 1994. Baba yake, Sir Winyi IV wa Bunyoro, alitawala kuanzia 1927 hadi 1967. mnamo mwaka 1967, serikali ya Uganda chini ya Milton Obote ilifuta mfumo wa falme.
Katika miaka ya hivi karibuni, Solomon Iguru ametangaza ufalme huo kwa kuanzisha Chama cha Wawakilishi wa Bunyoro-Kitara
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "King Iguru Opposes Basongora Eviction". AllAfrica.com. 12 Juni 2007. Iliwekwa mnamo 22 Februari 2011.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)