Simproniani na wenzake

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu zao huko Firenze, Italia.

Simproniani na wenzake Klaudio, Nikostrati, Kastori na Simplisi (walifariki kwenye mto Sava, Panonia, leo nchini Kroasya, 306 hivi) walikuwa wachongamawe (isipokuwa Simplisi) waliouawa katika dhuluma ya Dola la Roma kwa sababu walikataa kuchonga sanamu ya mungu Eskulapi.

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 8 Novemba[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.